• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Maji
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha

TUMLINDE MTOTO WA KIKE NGUVU KAZI YA TAIFA LA KESHO

Imewekwa : April 23rd, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Meja Jenerali (MST) Salum M. Kijuu amezindua zoezila chanjo ya saratani ya shingo ya kizazi Mkoa wa Kagera kwa watoto wa kike wenye umri wa miaka 14, katika kituo cha Afya Kaigara, Kata Muleba, Wilaya yaMuleba.

Akizindua zoezi hilo, Mkuu wa Mkoa amewasihi watoa huduma wa chanjo yasaratani ya mlango wa kizazi kuhakikisha wanafanikiwa kufikia lengo la kiwilayakama walivyopangiwa na wizara kwani ugonjwa huu umekuwa ukiwatesa sana mabintina akina mama. Na kwa kuwa kinga imepataikana ni vema kuokoa kizazi cha sasakisiangamie kwa ugonjwa huu.

"Kama tunavyofahamu ugonjwa wa saratani hasa kwa akina mama umekuwatishio, japo taifa letu ugonjwa huu haujakuwa kwa kasi kubwa ukilinganisha namataifa mengine, ni vema sasa tukahakikisha kila binti mwenye umri wa miaka 14anapata chanjo hiyo ambayo ni kinga dhidi ya ugonjwa huo. Aidha, chanjo hiyoitatolewa mara mbili yani baada ya miezi sita ili kukamilisha dozi",alieleza Meja Jenerali (MST) Salum Kijuu.

Wakati huohuo Mkuu wa Mkoa ametoa vyandarua kwa wanafunzi wa shule za msingiikiwa ni maadhimisho ya wiki ya Malaria Duniani ambayo kilele ni siku ya tarehe25/04/2018. Kauli Mbiu ni "Niko Tayari Kutokomeza Malaria Wewe Je".

Matangazo ya kawaida

  • No records found
  • Angalia zote

Habari mpya

  • UJENZI WA KITUO CHA AFYA KIMEYA WAPIGA HATUA

    May 26, 2018
  • MAPATO YA NDANI YAIMARISHA VITENDEA KAZI

    May 25, 2018
  • WAZEE WETU FAHARI YETU

    May 04, 2018
  • TUMLINDE MTOTO WA KIKE NGUVU KAZI YA TAIFA LA KESHO

    April 23, 2018
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu: +255-756-350-183

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa