• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Maji
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha

MAPATO YA NDANI YAIMARISHA VITENDEA KAZI

Imewekwa : May 25th, 2018

Halmashauri ya Wilaya ya Muleba, imenunua Fiber Patrol Boat (Horse Power 40) yenye thamani ya Shilingi Million 53.1 pamoja na Gari Toyota Hilux lenye thamani ya Shilingi milioni 93 fedha iliyotokana na makusanyo ya Mapato ya Ndani kwa mwaka wa fedha 2016/2017.

Katika mwaka wa fedha 2016/2017, Halmashauri ya Wilaya ya Muleba ilikisia kukusanya kiasi cha shilingi bilioni 2.5 fedha za makusanyo ya ndani na hadi kufikia tarehe 30/06/2017, Halmashauri ilikuwa imekusanya kiasi cha shilingi bilioni 2.6 sawa na asilimia 106 na kuvuka lengo na ziada ya shilingi milioni 141,931,455.63 ya makisio ya mwaka.

"Halmashauri imeona ni vema kununua vifaa (gari na boti) ambavyo vitasaidia na kuongeza kasi zaidi ya ukusanyaji wa mapato. Naamini vyombo hivi vitarahisisha kufika katika maeneo ya kukusanyia mapato kwa wakati na kuwezesha kukusanya kama ilivyokusudiwa." alieleza Ndg. Emmanuel Sherembi, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba.

Boti hii ina uwezo wa kubeba abiria 12 na mizigo yenye uzito wa tani moja ambayo pia itasaidia katika doria za udhibiti wa uvuvi haramu katika mipaka ya ziwa Viktoria wilayani Muleba. Pia ina vifaa vya usalama vikiwemo maboya 3 yenye kuhimili watu 4 kila moja na makoti ya kuogelea (Life Jacket) 12. Aidha boti hiyo ina injini ya ziada yenye (horse Power) 40 ambayo itatumika pale inapotokea dharura injini iliyopo kushindwa kufanya kazi au kupata itilafu.



Matangazo ya kawaida

  • TANGAZO LA KARANTINI YA UGONJWA WA HOMA YA NGURUWE February 19, 2021
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA KUTWA KIDATO CHA KWANZA December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WALEMAVU VYAWEZESHWA NA HALMASHAURI MIKOPO ISYO NA RIBA

    February 17, 2021
  • UJENZI WA KITUO CHA AFYA KIMEYA WAPIGA HATUA

    May 26, 2018
  • MAPATO YA NDANI YAIMARISHA VITENDEA KAZI

    May 25, 2018
  • WAZEE WETU FAHARI YETU

    May 04, 2018
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu: +255-756-350-183

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa