• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

KAMBI YA VIJANA WALIOJITOLEA KUFYATUA MATOFALI YAZINDULIWA RASMI

Imewekwa : August 10th, 2021

Mkuu wa wilaya ya Muleba, Mhe. Toba Nguvila amezindua rasmi kambi ya vijana wa Chama cha Mapinduzi waliojitolea kufyatua matofali kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa ikiwa ni mkakati wa kuimarisha benki za matofari kwa kila kata, wilayani Muleba.

Akizindua rasmi kambi hiyo ya ufyatuaji wa  matofali Mkuu wa wilaya amewashukuru vijana hao kwa kujitolea kwao kushiriki katika shughuli za maendeleo 

"Nawapongeza sana kwa utayari wenu wa kujitoakuja Kushiriki katika zoezi hili ambalo tutalitekeleza katika kata zote 43 za wilaya ya Muleba kwa kujitoa kwenu nami nitahakikisha kuwapa kipaumbele kwa fursa zitakazokuja wilayani kwetu ikiwemo utekelezaji wa mradi wa bomba la mafuta kama sehemu ya motisha" ameeleza Mkuu wa Wilaya.

Aidha, ametoa salamu za waheshimiwa wabunge wa Jimbo la Muleba Kaskazini Mhe. Charles Mwijage na Jimbo la Muleba Kusini Mhe. Dr. Oscar Kikoyo kuwa wapo pamoja nao katika kutekeleza mpango wa benki ya matofali na wanawashukuru sana kwa kujitoa kwao.

Kambi hiyo inaundwa na vijana wa Chama cha Mapinduzi wapatao 70 wanaume 55 na wanawake 15 kutoka katika kata za Ngenge, Ibuga, Muleba, Bureza na Kibanga.

Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Comred Mtwaafu Kantangayo ameeeleza kuwa kwa siku mbili wanaweza kufyatua jumla ya tofari 12,668.

Uzinduzi huu umefanyika katika kijiji cha Kibanga, kata ya Kibanga leo tarehe 10.08.2021.

Imetolewa na: 

Kitengo cha Habari na Mawasiliano Halmashauri ya wilaya ya Muleba



Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA MULEBA 17-06-2025 June 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MULEBA 07-05-2025 May 07, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa