• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Maji
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha

Kuhamisha mwanafunzi wa sekondari

UTARATIBU WA UHAMISHO KWA MWANAFUNZI KUTOKA SHULE MOJA KWENDA NYINGINE;

Uhamisho wa mwanafunzi wa kuhama kutoka shule moja kwenda nyingine upo katika makundi mawili, kuna uhamisho wa wa ndanina uhamisho wa nje.

  1. Uhamisho wa ndani; huu ni uhamisho ambao mwanafunzi anahama kutoka shule moja kwenda shule nyingine lakini ndani ya Halmashauri. Katika uhamisho huu, mwanafunzi au mzazi anatakiwa kuandika barua kwa Mkurugenzi wa Halmashauri , barua hiyo itapitia shule aendayo mwanafunzi kasha kwa mkuu wa shule anakotoka.Baada ya utaratibu huo kukamilika mzazi/mlezi/mwanafunzi atapatiwa kibali cha kuruhusiwa kuhamia shule aliyoomba kuhamia.
  2. Uhamisho wa nje; huu ni uhamisho wa mwanafunzi kutoka nje ya Halmshauri/wilaya au nje ya Mkoa anakosomea mwanafunzi. Uhamisho huu anayetoa kibali cha kuhama ni Katibu Tawala Mkoa (ofisi ya Afisaelimu Mkoa). Katika uhamisho huu, Mzazi anamwandikia barua Katibu Tawala Mkoa (ofisi ya Elimu Mkoa), inapitia kwa Mkurugenzi (Afisaelimu) anakotoka,itapitia kwa Aifaelimu anakokwenda, itapitia kwa Mkuu wa shule anakokwenda kasha kwa Mkuu wa shule anakotoka. Baada ya kukamilisha taratibu husika , Mzazi/Mlezi/Mwanafunzi ataidhinishwa kuhama na Ngazi ya mkoa baada ya taratibu zote hizo kukamilika.

NB/ Katika kupitisha fomu za uhamisho kwa aina zote hizo za uhamisho  (ndani nan je) mhusika anatakiwa aanzie ngazi ya chini kuelekea ngazi ya juu kwakuwa ngazi ya juu ndiyo inayoidhinisha mwisho. Hivo, mwombaji anatakiwa kuzingatia taratibu zilizowekwa.

<

Matangazo ya kawaida

  • TANGAZO LA KARANTINI YA UGONJWA WA HOMA YA NGURUWE February 19, 2021
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA KUTWA KIDATO CHA KWANZA December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WALEMAVU VYAWEZESHWA NA HALMASHAURI MIKOPO ISYO NA RIBA

    February 17, 2021
  • UJENZI WA KITUO CHA AFYA KIMEYA WAPIGA HATUA

    May 26, 2018
  • MAPATO YA NDANI YAIMARISHA VITENDEA KAZI

    May 25, 2018
  • WAZEE WETU FAHARI YETU

    May 04, 2018
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu: +255-756-350-183

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa